
0:00
Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed,ametembelea mji mkuu mpya wa utawala ,pembezoni mwa ziara yake nchini Misri; kushiriki katika mkutano wa kilele wa nchi jirani za Sudan uliohitimisha mjukumu wake Alhamisi Juni 13.
Rais Abdel Fattah el-Sisi,na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed, walitangaza kuanza mazungumzo ya dharura ili kukamilika kwa kujaza bwawa la Al -Nahda na sheria zake za uendeshaji,hivyo wakati wa mapokezi ya Rais El-Sisi kwa Abiy Ahmed kuendelea majadiliano kati yao.