Afrika Limo Moyoni Mwa Misri
-
Habari Tofauti
Jumanne - 17 Oktoba 2023Waziri wa Mambo ya Nje wa Guinea ampokea Balozi wa Misri katika hafla ya kumalizika safari yake ya kazi mjini Conakry
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Guinea, Dkt. Morisanda Kouyaté, alimpokea Balozi Tamer Kamal El-Meligy, Balozi wa Jamhuri…
Uendelee kusoma » -
Habari
Jumanne - 17 Oktoba 2023Burkina Faso yatoa nishani ya heshima kwa Balozi wa Misri
Ndani ya muktadha wa mahusiano ya nchi mbili kati ya Jamhuri ya Kiarabu ya Misri na Burkina Faso, Waziri wa…
Uendelee kusoma » -
Habari Tofauti
Jumamosi - 14 Oktoba 2023Dkt. Swailem akutana na wajumbe wa ujumbe wa umwagiliaji wa Misri nchini Uganda kufuatilia kazi ya ujumbe, miradi ya ushirikiano wa sasa wa nchi mbili na maoni ya baadaye
Katika ziara yake ya kikazi nchini Uganda Prof. Hani Sweilam, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, akiambatana na Balozi Munther Selim,…
Uendelee kusoma » -
Habari
Jumamosi - 14 Oktoba 2023Waziri wa Biashara na Viwanda ajadiliana na Kamishna wa Maendeleo ya Uchumi, Biashara, Viwanda, Utalii na Madini wa Umoja wa Afrika faili za ushirikiano wa pamoja kati ya Misri na Umoja wa Mataifa
Mhandisi. Ahmed Samir, Waziri wa Biashara na Viwanda, alikutana na Balozi Albert Muchanga, Kamishna wa Maendeleo ya Uchumi, Biashara, Viwanda,…
Uendelee kusoma » -
Habari
Jumamosi - 14 Oktoba 2023Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe ampokea Balozi wa Misri mjini Harare na Mbunge Sherif El Gabaly kujadili njia za ushirikiano katika sekta ya viwanda vya kemikali
Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Emmerson Mningagwa, alimpokea Balozi Salwa Al-Mowafi, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri nchini Zimbabwe,…
Uendelee kusoma » -
Habari
Jumamosi - 14 Oktoba 2023Shoukry akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea na Mshauri wa Kisiasa wa Rais wa Eritrea
Alhamisi, Oktoba 12, Waziri wa Mambo ya Nje Sameh Shoukry amempokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea Osman Saleh…
Uendelee kusoma » -
Habari
Jumanne - 10 Oktoba 2023Balozi wa Misri nchini Liberia akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Liberia wakati wa kumalizika kwa muhula wake
Waziri wa Mambo ya Nje wa Liberia Dee – Maxwell Saah Kemayah alimpokea Balozi Ahmed El-Sayed Helal, Balozi wa Misri…
Uendelee kusoma » -
Habari Tofauti
Jumanne - 26 Septemba 2023Mazungumzo ya Bwawa la Al-Nahda yamalizika
Mkutano wa mawaziri wa pande tatu kuhusu Bwawa la Al-Nahda, uliofanyikwa katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa mnamo Septemba…
Uendelee kusoma » -
Habari Tofauti
Jumanne - 26 Septemba 2023Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ampokea Mkurugenzi wa Kituo cha Umoja wa Afrika cha Ujenzi na Maendeleo ya Baada ya Mgogoro huko Kairo
Balozi Ashraf Sweilam, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kwa mashirika na vikundi vya Kiafrika,alimpokea Bi. Lebax Matlow, Mkurugenzi wa…
Uendelee kusoma » -
Habari Tofauti
Jumamosi - 23 Septemba 2023Imamu Mkuu atoa ushauri wa kumwangalia mwanafunzi wa Guinea Mamadou Barry
Mheshimiwa Imamu Mkuu Prof. Ahmed Al-Tayeb, Sheikh wa Al-Azhar Al-Sharief, alitoa mwaliko wa kumwangalia mwanafunzi wa Guinea, Mamadou Safayo Barry,…
Uendelee kusoma »









