HabariVijana Na Michezo

Rashid Kassim Mchatta kuwa Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania

Ahmed Hassan

0:00

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Rashid Kassim Mchatta kuwa Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Februari, 2023.
Back to top button