HabariUncategorized

DKT. MWINYI AKUTANA NA BALOZI WA MORROCO NCHINI TANZANIA

0:00

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe.Zakaria El Goumiri, alipofika Ikulu Zanzibar leo tarehe 13 Machi 2023.
Back to top button