Vijana Na Michezo
UFUNGUZI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA
![](https://misralan.net/wp-content/uploads/2024/06/448005760_18048075031686622_8053401096487852449_n-780x470.jpg)
0:00
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Tabora ambapo atafungua mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA) katika uwanja wa Alli Hassan Mwinyi.